AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Muhongo |
Tukio hilo limetokea hivi karibuni wakati waziri huyo na msafara wake wakitokea kata ya Bulungwa kwenye jimbo la Kahama kuelekea kata ya Bulige jimbo la Msalala kukagua ujenzi wa mradi wa umeme vijijini unaotekelezwa na wakala wa umeme vijini nchini (REA) unaoendelea kufungwa katika maeneo mbalimbali wilayani humo.
Baada ya kufika katika eneo hilo wananchi hao walianza kumzomea wakidai ni “mwizi wa fedha zilikuwa kwenye akaunti ya Tegeta Escrow kelele ambazo ziliwashtua watu wengi ambao walijitokeza kuona anayezomewa ni waziri yupi.
Hata hivyo kelele hizo ziliisha baada ya msafara wa waziri huyo ambaye yuko ziara kanda ya ziwa kutokomea na kuacha makundi mbalimbali katika eneo hilo la soko la wakulima wakijadili hatima yake katika mpango mzima wa mgogolo wa uchotwaji wa mabililioni ya shilingi kwenye akaunti hiyo ya Escrow.
Pamoja na kuzomewa na wananchi hao Muhongo katika ziara yake wilayani Kahama ameacha neema kwa wananchi wa halmashauri ya Ushetu baada ya kuwaahidi umeme katika awamu ya tatu ya mradi ya nishati vijijini.
Qoute of the Day
'You've gotta dance like there's nobody watching,
Love like you'll never be hurt,
Sing like there's nobody listening,
And live like it's heaven on earth.'
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK