AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwigizaji wa filamu mwenye vituko vya aina yake, Faiza Ally ambae ni mama wa mtoto moja, aliezaa na Mbunge wasasa wa Mbeya mjini, ameyasema hayo akiwa visiwani Zanzibar kwenye mapumziko mafupi.
Mwigizaji huyu ambae mara kabdhaa amekuwa akijisifia kwa kuwa na FIGA nzuri akidai hata baada ya kuzaa bado umbo na mvuto wake bado upo pale pale amesema angekuwa na uwezo wa kipesa angezaa watoto wengi zaidi kiasi cha kufikisha idadi ya wachezaji wa timu ya mpira kwa sababu kuwa mama ni kitu kizuri sana kwake.
“Kuwa mama ni kazi poa sana- naipenda sana yaani ningekua na uwezo wa kipesa ningezaa team ya mpira”
Mbali na watu kuendelea kumshambulia kuhusu uvaaji wa nguo zake akiwa na mtoto wake mwananamama huyu ameonekana ni mtu mwenye kufanya kile anachokiamni na sio watu wanataka nini.
Jionee baadhi ya picha hapo juu akiwa na mtoto wake ufukweni.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Maskini
ReplyDeletekuwa mama ni jambo jema sana hasa ukiwa unajitambua aisee...
ReplyDeletena wewe si usubiri usifiwe,au biashara matangazo?
ReplyDeleteMsenge wewe unafanya matangazo ili upate manjemba yenye pesa yakuzalishe. Hahaaaaaa ama kweli biashara matangazo. Na hiyo bongo movie mnatudanganya kila siku inawapa pesa gani???!!! kama siyo biashara ya uzunzi tu mnafanya nyie. Nendeni mkalime shamba huko pambafff
ReplyDeletekuzaa sio kazi,kazi kulea.
ReplyDeleteunaweza kuzaa team ya mpira,je utawapa malezi bora?
TENAHUYU AKIKUA TU BABA MTU ANAMCHUKUA,USIJE UKAMUHARIBU BURE NA TABIA YAKO CHAFU.
sijaona mwanamke ambae hana maadili kama wewe,unajiabisha.
ReplyDeletekuna wanawake wazuri wewe bwege tu,kazi kujiuza