AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akiongea na Mwandishi wetu, Joyce Kiria alisema kuwa amepokea barua hiyo kwa mikono miwili na anawasubiri wanasheria wake ili waijadili.“Nilimpokea mke wa Mbunge aitwaye Hawa kama mwanamke mwenye matatizo ambaye alifika kutoa sauti yake ili watu wamsaidie mtoto wake mwenye ulemavu.
"Baada ya kuongea naye nilimtafuta mheshimiwa ili kumpa nafasi naye aongee ya kwake kama wajibu wangu, lakini cha kushangaza yeye alinikamata na kunipeleka polisi, leo anasema nimemdhalilisha,” alisema Joyce .
Joyce anadaiwa fidia na Mbunge huyo kwa kuitangaza habari ya kumtelekeza mtoto mlemavu ambaye alipelekwa kwenye kipindi chake na mkewe, Hawa Deusi.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
joyce kiria kama kawa nakuaminia usitetereke
ReplyDeleteMuheshimiwa(???????) anatafuta aibu mara ya pili,
ReplyDeletekwani Kiria anakosa gani hapo,au yeye aliota kama umefanya unyama kwa mkeo na mtoto mlemavu?yuko kazini mtoto wa watu,mwache mara 100.Tunakuombea Joyce usibabalke,unafanya mambo makubwa na mazuri.Mungu wetu awe nawe.
Kaza buti Joyce,hayo ni majaribu lakini watashindanaaaaaaaaaaaaaaaaa HAWATASHINDA.Mungu akubariki.
ReplyDeleteUTASHINDAAAAAAAA ANATAFUTA AIBU YA PILI
ReplyDelete