AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
MTANGAZAJI maarufu wa Runinga, Maimartha Jesse hivi karibuni aliamua kumtolea uvivu, Lulu Semagongo ‘Aunty Lulu’ kwa kumpa kitchen party ya nguvu.
Akichonga na Centre Spread, Mai alisema kuwa anachoumia ni kwamba kila mtu mjini hapa anamsema Lulu vibaya wakati yeye alikuwa ni rafiki yake wa karibu.
“Kama atalia na alie, kama atacheka na acheke lakini nimeshachoka na mambo yake kwa sababu yeye ni umiza kichwa, anasumbua vichwa vya watu kwa matendo yake,” alisema Mai.
Aidha, Mai alisema anamsema Lulu kama mdogo wake na mtu aliyemfanya akapata jina mjini hapa kuwa aache tabia ya kulalala gesti na kuwa karibu na wanaume wasio riziki.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK