AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Filamu za kitanzania maarufu kama Bongo Movies zimezidi kuvuka mipaka na kupata fursa ya kuonekana zaidi duniani.Hii ni kutokan na hiki ambacho blogger maarufu Jestina George mtanzania aneishi ughaibuni kushea nasi kile alichokutana nacho akiwa ndani ya ndege.
"I was very happy hivi karibuni wakati nasafiri ndani ya Emirates kukutana na hii .BongoMovie ..MkeMchafu humo ndani ninaemjua ni Johari Chagula pekee yake . but lengo lakuleta hapa ni kuwapongeza sana maana ni hatua nzuri and I hope tutaendelea kukutana na movie zingine pamoja na miziki yetu pia kwenye mashirika mengine ya ndege.. Kwani waowaweze sie tushindwe tuna nini"- Jestina wa Jestina-george.com aliandika mtandaoni na kuwa tag baadhi ya wasanii wa bongo movies.
Hizi ni dalili nzuri, wasanii endeleni kukaza buti,wadau tuendelee kuwasapoti kwa kupenda vya kwetu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK