AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Siku ya jana msanii Ommy Dimpoz alitupia picha hiyo hapo juu kwenye ukursa wake kwenye mtandao wa Instagram, na kuandika kipande cha maneno kutoka kwenye moja ya nyimbo za Yamoto Band.
“Inzi kufia kwenye kidonda sio ufala ila kapenda......”
Haikuishia hapo, muda kidogo akatupia kipande cha video akiwa na Wema kwenye bajaji huku Wema akim-BLESS ma-KISS yakutosha…kama unavyoona kwenye picha hapo juu.
Sasa jamani hivi hiyo KUSHUTI hadi kwenye bajajiiii?!!!
Jamani tuwatakie tu kila la kheri kwenye PROJECT yao.
Mzee wa Ubuyu Bongo Movies
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Dah wema anapooza machungu jamani
ReplyDelete