AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Video, picha na story kubwa mitandaoni kwa sasa ni ishu ya Rais huyo kuanguka wakati akishuka ngazi baada ya kuhutubia wanachama wake Harare, baada ya kumaliza kuhutubia alisalimiana na viongozi kadhaa wa Chama hicho halafu akawa anashuka ngazi, akaishiwa nguvu na kuanguka chini, walinzi wakamuinua na kumpeleka kwenye gari yake
Kwenye video Mugabe anaonekana akishuka ngazi lakini hali yake ni kama mgonjwa au mtu aliechoka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mwenyekiti wa Umoja wa Afrika(AU)............Salaaaalehh!!
ReplyDeleteYani kuachia madaraka hataki au anataka hadi aje afie jukwaani umri umeenda angekuwa kijana tungesema anaumwa lkn uzee wote huo bado tu kang'ang'anaaaaa!!!
ReplyDeleteni binadamu kama wengine namkubali sana mzee huyo kwa misimamo yake
ReplyDeleteHayupo kiongozi aliye baki afrika shujaa kama mugebe na hamuoni wa kumuachia madaraka coz wote ni vibaraka wa wazungu
ReplyDeletendio mugabe ni jembe la africa
ReplyDelete