AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Inasemekana Papa Mapao baada ya kutosheka na Burudani aliamka na kuondoka lakini baada ya kufika nje alishtuka kuwa ameacha simu mezani na kurudi lakini alikuta simu haipo na mtu aliyemwacha hapo ni Dudubaya ambae bado alikuwa hapa .Hali ilikuwa mbaya ukumbini kwani baadhi ya mashabiki walipendekeza Dudubaya Asachiwe lakini ghafla simu ilionekana miguuni kwa Dudubaya akiwa ameikanyagia na viatu..ilibaki kidogo jamaa wamchome Moto ..alisema mdau mmoja aliyekuwepo eneo la Tukio.....
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
NJAA ITAWAUWA WASANII WETU NDO MANA WANAKUA MAKONTENA YA KUBEBA UNGA. WAKIWA NA PESA BADALA WAWEKEZE WAO STAREHE
ReplyDeleteWAAMBIE HAWA WANAENDEKEZA SANA STAREHE!!!
ReplyDelete