Dansa wa Diamond Aonekana Mtaani na Nguo za Mume wa Aunty Ezekiel Ambae Yupo Jela

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Gazeti la Kiu Limetoa Siri kuwa Dansa wa Diamond Moses Iyobo amedaiwa kuanza kurithi mali za mume wa Msanii Aunty Ezekiel, Sunday Demonte Ambaye yupo Gerezani nchini Abu Dhabi akitumikia kifungo cha Miaka Kumi .

Mali anazodaiwa kurithi Iyobo ni pamoja na nguo anazodaiwa kuonekana nazo mitaani na kwenye Show za Diamond..Chanzo cha ndani kinasema nguo hizo ni zile alizokwenda kuzichukua Aunty ezekiel nyumbani kwake nchini Dubai siku chache baada ya Demonte kusekwa Jela..

"Kuna uwezekano Iyobo hajui kama nguo hizo ni za Demonte lakini ukweli ndio huo, nguo hizo sisi tunazijua na Demonte alikuwa akizivaa sana Dubai sasa tunashangaa mtu hajafa nguo zake zimesharithishwa kwa mwanaume mwingine" Kililalamika Chanzo cha habari hii

Aunty Ezekile alipotafutwa kuzungumzia hilo Simu yake iliita bila Kupokelewa...

Je kama ni Kweli ni Sasa Anavyofanya?


----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad