AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Ivo amekuwa kivutio kwenye mechi kutokana na staili yake hiyo ya kuingia na taulo uwanjani. Ni staili ambayo ilimpa umaarufu tangu alipokuwa anaichezea Gor Mahia ya Kenya japo imekuwa ikihusishwa na imani za kishirikina.
Akizungumza na Mwanaspoti, Ivo alisema: “Hii staili ya taulo naipenda, lakini kwa sasa naona wanaobeba wamekuwa wengi, kama wataendelea kuzidi nitaibadilisha.
“Na kama nitabadili, badala ya taulo, sasa nitakuwa naingia uwanjani na blanketi, nikiwa na mwonekano mwingine.”
Kutokana na taulo hilo, amekuwa akiingia kwenye migogoro na wachezaji wa timu pinzani pamoja na waamuzi.
Ugomvi wao ni pale anapokuwa anataka kulitundika kwenye nyavu za goli, jambo ambalo wenyewe wanaona siyo sahihi na kumtaka aliweke chini na wanafikiri kuwa upo uchawi ingawa mwenyewe huwa anapinga suala hilo.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HAKUNA UCHAWI NI MBWEMBWE ZAKE TU
ReplyDeleteMasifa tu,, nae kaiga staili hiyo toka kwa makipa wengi tu Ulaya wanaobeba taulo!!!
ReplyDeleteMbona dizaini ya vitaulo ipo toka wewe haujazaliwa watu hitumia hasa katika nchi zenye joto kali shauri ya kujifuta jasho kwa hiyo hapo hakuna mpya kabisaaaa japo mimi ni mpenzi mkubwa wa Simba Sports Club tangu enzi za akina Mambosasa Omary Chogo Kajole Haidary Abed upo hapo?
ReplyDeletewala sio uchawi ni stye yake
ReplyDelete