AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Askofu Kakobe aliyasema hayo alipokuwa akihubiri kanisani kwake na kumtolea mfano Mwimbaji Rose Mhando na kusema hana sifa za ulokole kwa kuwa anawachezesha wanaume kwa kukata mauno kwenye nyimbo zake , Amesema "Hivi kweli mtu kama Rose Muhando unaweza sema ameokoka ..embu tuache utani na kumrudia Mungu Jamani"
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HATA MIYE MASWALA YA KUKATA VIUNO KWA KWELI SIO SAHIHI ROSE UMEZIDISHA.
ReplyDeleteMr.Bishop U ain't gotta no right to judge a person ONLY GOD can judge us(au hii haimo ktk vitabu vyako vitakatifu?)
ReplyDeleteVery true. Kuna maneno ya kuongea hadharani inasikitisha sana.
DeleteMbona we mwenyewe wanasema mwanga na tapeli nani kakujaji?
ReplyDeleteSi iumeshasema wanamwita 'mwanga' na tapeli, ndio wameshamjaji tayari? Au kumjaji unataka mpaka apelekwe mahakamani?
DeleteYeye mwenyewe kutwa misikitini kuswali usiku,kaa kimya baba kula hela ya sadaka tutaonana siku ya kiama,wakitoka kuchomwa magaidi,wafate wachungaji fake wanaoua albino wanasiasa nk
ReplyDeleteEee haloo huwa mnaongozana sana inavyoonesha.
DeleteUmeishiwa maneno ya kuhubiri, jipange sawasawa
ReplyDeleteJamani iko pesa nataka kugonga hiyo Rose mhando,tafadhar tafuta yeye pesa mingi sana!
ReplyDelete