AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mwanamuziki Lady Jay Dee |
..Mdogo wangu Ali Kiba
Natoa shukrani zangu za pekee kwako
Asante kwa kuteka show..
Sina cha kuelezea
Halikuwa funiko lile, bali
Labda niseme lilikuwa ni Zege
Unajua nini maana ya Shukrani ....
Sijawahi kukutendea makubwa ya ajabu
Ila tendo la kuamua ku support ur sister
Bila kuniwekea masharti
Ni upendo tosha
Inatosha ❤
Wengi wanaogopa
Ila umesimama
Na kuona umuhimu wangu kwako.
Katika kipindi kigumu nilichopo. I will forever love you
Keep the fire burning.
Nilikuwa
Na nitaendelea kuwa ✔
Natangaza rasmi kuwa
Mimi ni #TeamKiba
Now & Forever
Kama wewe ni TeamJide ... na bado hujawa' .... badi usisite kuwa Team Kiba
Oyoooooooooo ......
#FunikaMbaya
Next tukafanyie uwanjani sio ishu..
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Oyoooooooo
ReplyDeleteAende nae huyu mkomavu unafiki tuu
ReplyDeleteMuache si uamuzi wake kwani lazima
ReplyDeleteshauri yake kwanza mbona kachelewa
ReplyDelete