AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Baadhi ya Comments
Mrekebisha Tabia:
@rayc1982 acha vijembe mpenzi.... 1. Focus kurudi kwenye muziki 2. Endelea kutumia dawa na kuwasaidia walioathirika na madawa ya kulevya 3. Acha kuuza mikorogo, ngozi yako imeharibika (huo ndio ukweli), be careful huo mkorogo usiharibu na ngozi za wengine 4. Fuatilia maisha yako! Ukifanya haya utafanikiwa na milango yako itafunguliwa.
Hongera @zamaradimketema kwa kupata mtoto mwingine wa kike....una bahati sana mdada Mungu akupe nini tena? Watoto ni baraka wa kwanza wa kiume wa pili wa kike...bahati iliyoje halafu una maisha yako unajitegemea na una kazi yako nzuri... unabarikiwa, Kwanini watu wasione wivu???
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
ALAAA KUMBE ZAMARADI ANAZAA NA RUGE??????
ReplyDeleteUMETOKA LINI SHAMBA? HATA YA ZAMA HUYAJUI..LOL
ReplyDeleteKUTOKUJUA KITU SIO USHAMBA!! WEWE UNAJUA MANGAPI? AU HILO LA ZAMARADI KUZAA NA RUGE???????NDIO LIMEKUTOA USHAMBA??
Delete