Snura Afunguka Kuhusu Shilole Kumchapa Vibao Nuhu Mziwanda ' Tusimuonee Huruma'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mziwanda wala tusimuonee huruma. Inaonesha kweli anapenda kupigwa kama Snura anavyosema! mnafanya kazi bure kuwashauri. Hapo kitakochotokea Mziwanda anajiharibia kazi yake, lets be honest hivi anavyopigwa pigwa hovyo kuna mwanaume atasikiliza au kuangalia nyimbo zake? Noo make watasema "yule fala tu mwanaume gani anapigwa na mpenzi wake?" Halafu kwa wasichana watasikiliza nyimbo zake vile tu kana sura nzuri si unajua sie wadada tunavutiwa na vitu vidogo tu!! Halafu Mziwanda nahisi anadhani akimuacha Shilole ndo amekwisha kimuziki itabidi ang'ang'anie hapo hapo.... Mpaka atakapochukua maamuzi kama mwanaume akajitambua ndo watu wote wataikubali kazi yake..lkn sasa hapana! ..

Ni Maneno ya Mwanamuziki Snura wa Majanga....Je Unakubaliana nae ?
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad