AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Sasa jana Message iliyoingia ni ya kimapenzi kutoka kwa new number sms yenyewe inasema,
"Nimelala mpenzi wangu, naamini na wewe pia umelala, uniote umenikumbatia, si unaona baridi hii? I wish ungekuwa hapa jamani leo nina hamu ile mbaya..." Ghafla mke wangu anabadilika sura na maongezi. Nikarushiwa maswali yaliyojaa ghadhabu kama mvua ya mawe. Nikaiomba nione kucheki namba mpya, daaah nikapigwa butwaa. Nikasema isiwe tabu, ngoja tuende tigopesa tujaribu kama tunatuma pesa ili tujue jina. Kweli tulipata jina, wala hata silijui la wapi, nikaona isiwe tabu, ngoja nimpigie nimwulize. Mara wife akanyang'anya simu apige yeye mwenyewe. Ilivyopokelewa tuu yaani hata mtu upande wa pili hajajitambulisha vizuri kashushiwa mvua ya matusi, vijembe na vitisho kibao. Honestly nilipanic sana. Heri ingekuwa ni mtu ninayemfahamu au ni mchepuko wangu ningejisikia guilty. Lakini ukweli simfahamu huyi mtu.
Baada ya kukata simu, nikageuziwa mashitaka, kuwa namfahamu ila nimefanya makusudi kutokusev namba, na huyo mwanamke anajifanya kakosea ili kuepuka zali. Daah nikajieleza nijitetee lakini wapi, hapakukalika wala kulalika. Tumeamka asubuhi vurugu mechi, sasa nikipiga ile namba hapokei tena sijui ni woga wa kutukanwa. Jamani hebu vaeni kiatu changu alafu mnishauri nifanyeje mwenzangu anielewe? Mpaka sasa sijajua huyo aliyetuma sms yuko wapi? ila nimechukua tuu namba na jina lililosajiliwa nalo kwenye tigo pesa.
Sijawahi kupata zali kama hili
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mwanaume halisi hafundishwi namna ya kumhandle mkewe. Usiwe bwege ongeza sauti iwe ya kiume zaidi ataelewa tu Acha kulia lia mambo madogo hayo.
ReplyDeleteNipe hiyo namba mimi nimpigie huyo demu..
ReplyDeleteina maana umezidiwa sauti na mkeo?hayo c mambo ya kuomba ushauri ni madogo sana,kama hataki kukuelewa timua.na kwa nini unamruhusu mkeo atawale simu yako?huo ni uzumbukuku...!
ReplyDelete