Wawania Urais Waukacha Mdahalo...Pole Mafuruki, Hiyo Ndiyo CCM Bana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Si jambo geni lililotokea leo. Si jambo la kustaajabisha wagombea watarajiwa wa CCM kukimbia midahalo. Mafuruki pole,hujaijua CCM. CCM haina watu wenye hoja za haja za moja kwa moja-live arguments. CCM haina wajibu maswali ya moja kwa moja-live response.

CCM imejaa watumia fedha kushinda uchaguzini. Kuwaweka kwenye mdahalo wanachama wa CCM ni kutaka kuwadhalilisha na kuwaaibisha. Ni kutaka kuwavua nguo mbele ya halaiki. Pole Mafuruki. CCM is not reachable,try again later.

Labda kungekuwa na vyombo vya dola pembeni,wanaCCM wangetoa pointi. Wangetema cheche. Kiufupi,sisi ni waeupe na watupu kwenye midahalo. Hata Katibu Mkuu wa zamani wa CCM,Yusuf Makamba aliona hilo. Akapiga marufuku kushiriki midahalo. Mafuruki ulikuwa hujui? Pole.

CCM inabebwa na ujinga na umaskini wa watanzania. Ushindi kwanza,hoja baadaye.Aibu kukimbia,heshima imelindwa lakini. Hiyo ndiyo CCM!

Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad