AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Yamoto Band ambao usiku wa kuamkia jana walitwaa tuzo ya Kili katika kipengele cha ‘Kikundi bora cha muziki (Bongo Flava) wameamua kwenda Afrika Kusini kufanya video ikiwa ni hatua za awali za kuingia katika soko la kimataifa.
Aidha Yamoto Band wameachia video ya wimbo wao mpya unaoitwa ‘Nisambazie Raha’ unaofanya vizuri sana katika vituo vya radio iliyofanyika chini ya uongozaji wake Isangi Mental.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK