CCM wakanusha taarifa inayosambazwa kwa kasi kuhusu Kamati ya Usalama na Maadili

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA


TAARIFA KWA UMMA

Chama Cha Mapinduzi kimesikitishwa na juhudi za uzushi na upotoshaji zinazofanywa na baadhi ya watu kwa malengo binafsi.

CCM inasisitiza kuwa hakuna taarifa yoyote ya Usalama na Maadili iliyoandaliwa na kuchapwa na kwamba kinachosambazwa mtaani ni uzushi wenye lengo la kuwachafua baadhi ya wanaoomba ridhaa ya CCM kuwania nafasi ya Urais kwa malengo mabaya.

CCM haitasita kuwachukulia hatua kali za kinidhamu wale wote watakaobainika kuendesha harakati za kuandaa na kusambaza uzushi wa aina yoyote dhidi ya shughuli za Chama.

Imetolewa na Kitengo cha Mawasiliano na Umma - CCM HQ
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad