Faiza Ally Afunguka Tena 'Katika Sheria ya Tanzania na Duniani Hakuna Kipengele Kinacho Mfanya Mama Apokonywe Mtoto Kupitia Mavazi Alitumia Rushwa Au Cheo Chake'

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Repost from @faiza_ally
Poleni marafiki mlio sikitishwa na tukiwa langu la kupokonywa mtoto- nimeona mnahitaji kujua ili muache masikitiko na tufurahie wakati uliopo- ni Kweli baba yake alishinda KESI lkn sheria hairuhusu nazani alitumia rushwa au labda cheo chake maana haijulikani alishindaje - any way nataka tu mjue mtoto wangu ninae na mimi si mwanamke regerege wa kupokonywa haki zangu za kumlea mwanangu ! Nimekwenda kwenye vyombo vya sheria na vinafanya kazi na. Niwahikikishie tu ntashinda kwa kuwa nina haki na ni mama bora- nitasimama mpaka kieleweke bila kujali cheo wala pesa - sheria zimewekwa na haki zinatendeka- mpaka sasa niko vizuri tu- niko na sasha na ntaendelea kuwa nae mpaka umri utakapo ruhusu lkn si leo wala kesho hayo ya mbele mungu ndio anayajua.....na niwaambie tu wale watoa hukumu wa humu ndani- KATIKA SHERIA YA TANZANIA NA DUNIANI HAKUNA KIPENGELE KINACHO MFANYA MAMA APOKONYWE MTOTO KUPITIA MAVAZI- KUNA VITU VYA KUZINGATIA VYA MUHIMU LKN SI MAVAZI! Aacheni ujinga wa kupeana hukumu - kuna watu wana mamlaka yao waliosomea kazi zao sio nyie wajinga mnaojivisha joho la ujaji hahahahahahaaaa..... Na msisahau hakimu mkuu ni MUNGU - ANAONA ANASIKIA NA ANATENDA 🙏🙏🙏 Alhamdulillah - feeling bless
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

2 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Hatutaki kujua nini kinaendelea kati yako na mzazi mwenzio, tuna mambo yetu mengi ya kufanya. malizeni wenyewe huko, maana unaona sifa kuandika andika kuhusu mheshimiwa, kwani wewe tu ndio umezaa na mheshimiwa?

    ReplyDelete
  2. kawakomesha kwani kichaa huyo mpk ashindwe kulea mtoto wake mwaya jivalie tu kwa raha zako

    ReplyDelete

Top Post Ad