Niaje Wasee? Hawayuni? Obama Afungua Mkutano wa GES jijini Nairobi kwa Salamu ya Sheng (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Rais wa Marekani, Barack Obama yupo nchini Kenya kwa ziara ya kwanza ya rais wa Marekani aliyepo madarakani kuwahi kufanyika nchini humo.

Obama amefungua mkutano wa ujasiriamali wa dunia, GES asubuhi hii kwa salamu ya Sheng. “Niaje Wasee, Hawayuni,” aliwasamilia wajumbe wa mkutano huo waliomuangushia shangwe za kutosha.

Jana usiku Obama alishiriki chakula cha usiku na ndugu upande wa baba yake.

Waliokuwepo kwenye dinner hiyo iliyofanyika Villa Rosa kwenye hoteli ya Kempinski jijini Nairobi ni pamoja na bibi yake, Mama Sarah na dada yake Auma Obama.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad