AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nakuomba na wewe binadamu kabla hujafikilia kunibania riziki yangu kumbuka nina mtoto ambae anahitaji hiyo riziki.
Wewe binadamu kabla hujanifanyia ubaya wowote kumbuka nina mtoto ambaye kitamuumiza zaidi ya mimi coz furaha yake ni kumuona mama yake.
Wewe binadamu kabla ya kutaka kuniumiza na kutaka kunipa stress za kijinga naomba umfikilie mwanangu ambaye ananitegemea mimi.
Ukinipa stress nitashindwa kufanya kazi na mwanangu atakosa haki zake za msingi.
Naomba wewe binadamu USINITESE,USINIUMIZE,USINILIZE, kama sina thamani yoyote kwako naomba ukae mbali na mimi kuliko kuwa mnafiki kwangu au kwa ajili ya masilahi yako binafsi....
Shamsa Ford on instagram
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK