AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Alex Msama ambaye ni meneja wa Rose muhando.
“Meneja wake alikubali kumlipia pesa zote (6,500,000) ambazo Rose alikuwa anadaiwa baada ya kushindwa kuhudhuria tamasha moja huko mikoani, alitakiwa baada ya siku chache aingie studio kufanya kazi, lakini ametoweka na haifahamiki yupo wapi,” kilisema chanzo chetu.
Msama alipotafutwa alikiri kutokea kwa tukio hilo, akisema haeleweki Rose ana matatizo gani kwani walikubaliana baada ya siku chache aingie studio na kurekodi, lakini mpaka hivi sasa haijulikani alipo na hata simu yake ya mkononi haipatikani.
GPL
Gazeti hili lilimtafuta Rose bila mafanikio kwani simu yake haikuwa hewani.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
ROSE ASHAKUWA TAPELI SUGU ATAWASUMBUA SANA! THEN HAPO ATASINGZIA ANAPGWA MAJUNGU? ROSE JIREKEBSHE WE NI MWIMBAJI MZURI TENA SANA TATIZO USWAHIL! SIJUI NENO LA MUNGU UNALOIMBAGA UNAWAIMBIA WENGNE! WE UNAJIVINJARI NA SHETANI WA UTAPEL SIJUI ATAKUTOKA LIN> KAOMBEWE!
ReplyDeletejamani beba mzigo kwa ajili yake omba kwaajili yake maana sheteni anatafuta kilichopotea kwake ili akirudishe usimlaum muombee na mungu afanye kazi ya kumbadililisha beba mzigo kwa ajili yake usiache kumuombea.....omba mpaka hizo roho zimtoke na mungu atakubariki ukibeba mzigo kwa ajili yake.......
ReplyDelete