AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Wakaka wengine wana haraka sana kuanzisha mahusiano ya kimapenzi mpaka ku fake maisha. Hata muondoko na kuzungumza atabadilisha, ataazima gari na kudanganya ni lake, nguo ataazima, au hata kazi hana lkn atadanganya eti nina degree au nafanya kazi mahali fulani kumbe muongo...atasema ana kiwanja mahali fulani, ana hiki na kile kumbe anataka ampate msichana msichana fulani....tena ukute msichana mwenyewe atampenda kwa dhati si sababu ya maneno matamu na mali alizotajiwa.... Msichana ukikutana na mkaka wa hivyo anaanza kujinadi nina hiki, kampuni, baba yangu bosi mama yangu vile...kaka yangu anaishi ulaya...huyo kaka ni muongooo hata kama kuna ukweli ni asilimia 5/100
Jaman wakaka msijaribu kufanya hivyo. Sawaa utampata msichana kwa njia hizo...lkn hamtadumu na mwisho utakua mbaya sana maana umejenga mahusiano yako kwenye uongo. Uwe wewe, huna pesa, huna gari huna lolote mtu atakupenda jinsi ulivyo si ulivyonavyo.
~Mrekebishatabia
----
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
-------------------
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
INTERNSHIP VACANCIES
GOVERNMENT VACANCIES
NGO'S VACANCIES
GOODLUCK
mpaka ukishapiga na aujue ukweli nishakamata totoz tofauti kwa style hizo
ReplyDelete