AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mabomu yamepigwa muda mfupi baada ya ndege inayosadikiwa kuwa ni ya Lowassa kutua uwanjan, hali iliyowafanya wananchi walipuke kwa furaha huku wakiimba nyimbo za Chadema.
Kadhia hiyo iliwafanya Polisi watumie nguvu ya ziada kuwatawanya wananchi hao waliokuwa wametanda barabarani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
HAO NI POLICECCM POLICE TIZAMENI NYUMBA ZENU KWANZA MAISHA YENU DUNI KWA AJILI YA CCM .WATANZANIA WANATAKA KUBADILI MAISHA YAO PIA NI FAIDA KWENU
ReplyDeletekurudisha pesa kwanza!
ReplyDeleteNdio maana nyie polis muna maisha duni kwa kuwafagilia ccm
ReplyDeleteHERI YAKO MDAU HAPO JUU UNAMAISHA MAZURI KWA KUIFAGILIA CHADEMA POLISI CCM KAMA MNAVYOTUITA TUMEKUNYWA MAJI YA BENDERA ACHA TUFE MASKINI ILA TAJIRI WENU LOWASA MABOMU UTAMPIGA TU MPKA KIELEWEKE NA KAMA NCHI TUTAISHIKA WENYEWE HAINGII IKULU HUYO.
ReplyDeleteMdau ulieshauri polisi ni ukweli waache kuangalia nchi inakoelekea wanapiga mabomu tu bila kufikiri, Halafu kama wale waliomzuia Muheshimiwa kwenda kuzika ina maana kuna misiba ya chadema na ccm? Hebu fungueni ufahamu jamani polisi mnapelekwa pelekwa tu. Subirini ukawa ukamate nchi hampati rushwa katika maisha yenu.
ReplyDelete