AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
kimemuenguwa na kumfukuza KAMANDA wao wa taifa nd KINGUNGE NGOMBALU MWILU.
Maamuzi hayo yamekuja baada ya baraza kuu kujadili na kutathimini mwenendo wa kamanda huyo hasa kipindi hichi cha mapambano.
kikao hicho cha baraza kimefikia maamuzi hayo baada ya kuamini kuwa kamanda huyo kwa sasa hataweza kuivusha jumuiya hiyo katika kupata ushindi wa kishindo oct 2015
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
CCM YA LAANA KAZI IMEANZA WATU WEEEEEEE UKAWA UKAWA
ReplyDeleteCcm naipenda bora mlivyomuondoa ss tunataka umoja na mshikamano ndy ushindi wetu,kidumu chama tawala.
ReplyDeleteHuyo mzee apumzike bhana inatosha hata hivyo UKAWA hatumtaki
ReplyDeletehahahahah bora wamemtulia mbali!!
ReplyDeleteuamuzi wa uvccm si wa busara ,leo mnamhona kingunge mbaya coz ni swahiba wa lowasa?urafiki na mapenzi yake kwa uvccm ni tofauti ,
ReplyDelete