Breaking News..Kingunge Ngombale Mwiru Avuliwa Ukamanda wa UVCCM Taifa..Atoa Mazito

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Kikao cha baraza kuu uvccm kinachoendelea hivi sasa katika ukumbi wa mwalimu J. Nyerere dar es saalamu chini ya mwenyekiti wake Sadifa J. khamis.
kimemuenguwa na kumfukuza KAMANDA wao wa taifa nd KINGUNGE NGOMBALU MWILU.
Maamuzi hayo yamekuja baada ya baraza kuu kujadili na kutathimini mwenendo wa kamanda huyo hasa kipindi hichi cha mapambano.

kikao hicho cha baraza kimefikia maamuzi hayo baada ya kuamini kuwa kamanda huyo kwa sasa hataweza kuivusha jumuiya hiyo katika kupata ushindi wa kishindo oct 2015


----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

5 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. CCM YA LAANA KAZI IMEANZA WATU WEEEEEEE UKAWA UKAWA

    ReplyDelete
  2. Ccm naipenda bora mlivyomuondoa ss tunataka umoja na mshikamano ndy ushindi wetu,kidumu chama tawala.

    ReplyDelete
  3. Huyo mzee apumzike bhana inatosha hata hivyo UKAWA hatumtaki

    ReplyDelete
  4. hahahahah bora wamemtulia mbali!!

    ReplyDelete
  5. uamuzi wa uvccm si wa busara ,leo mnamhona kingunge mbaya coz ni swahiba wa lowasa?urafiki na mapenzi yake kwa uvccm ni tofauti ,

    ReplyDelete

Top Post Ad