AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lowassa Akizungumza na Wahandishi wa Habari |
Bw.Makene ametoa taarifa hiyo kwenye mkutano wa baraza la vijana la vyama vinavyounda UKAWA na waandishi wa habari ambao pia viongozi hao wametumia nafasi hiyo kuiomba tume ya uchaguzi kuwakemea viongozi na watendaji wa serikali kufanya kazi za siasa kwa lengo la kukibeba chama tawala.
Viongozi hao wa vijana wamesema hatua ya viongozi na watendaji wa serikali ya kujihusisha moja kwa moja na kampeni za CCM huku wengine wakitumia rasilimali za umma na vyombo vya dola kukandamiza vyama vya upinzani inathibitisha ukweli wa malalamiko yao.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Hawa watumishi wa serikali wanaoipendelea ccm na kukandamiza upinzani Mungu amewapiga upofu.Treni imekwisha pita haisimamishwi kwa kupunga mkono.Peopleeeesssss!
ReplyDeleteTUNAWAOMBA VIONGOZI WA UKAWA KUHUSU JANGWANI KUTAPIKA UMATI SIKIU YA JUMAMOSI TUWEKEWE CCTV SCREENS VIWANJA VYA BIAFRA KINONDONI KARUME ILALA MWEMBEYANGA TEMEKE NA ZAKHEM MBAGALA ILI MAELFU WENGINE WAWEZE KUSHUHUDIA.PIA VIPAZA SAUTI VISAMBAZWE BARABARANI TOKA FIRE HADI MAGOMENI.KAMATI YA MAANDALIZI IZINGATIE SANA USHAURI WETU.VIPAZA SAUTI VIENEZWE ANGALAU KILOMITA MOJA TOKA MAIN PODIUM NA HILI LIWE KWA ZIARA ZA MHESHIMIWA LOWASSA POPOTE TANZANIA UPENDO WALIOKUA NAO WATANZANIA KWA LOWASSA HAUNA MFANO POPOTE AFRIKA.MUNGU MBARIKI MPENDWA WETU WASAMBARATISHE WALE WOTE WENYE HUSUDA MBAYA VIROHO KISOKOROMBINGO MAPEPO WACHAFU WAKIONGOZWA NA MABWANA KIKWETE MKAPA MAGUFULI NA SAMIA.WALAANIWE WASIWEZE
ReplyDelete