AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Diamond amepatikana na kutolea majibu ishu hiyo, barua ya kudai mtoto wake akapimwe DNA bado haijamfikia na kama ni ishu ya Kisheria inayohusu Mahakama amesema ingepitia kwa Wakili au Mwanasheria na sio kupitia Mitandaoni.
Kingine amesema kwamba Zari hajawahi kuolewa na wao wameamua kuishi maisha yao na hawezi kufuatilia maisha ya mtu wala wao kufuatilia maisha ya watu.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
kapime DNA ili umalize utata wa walimwengu. uenda sio wako make walikuwa wapenzi wako walishasema una kizazi.
ReplyDeletelisemwalo lipo njiani.
ReplyDeleteDai anaogopa kupima DNA, ndo maana anamajibu meengi yasokuwa na maana.
ReplyDeletehakuna kupima hacha waendelee kuuza sura mitandaoni wanatafuta umaarufu tu,
ReplyDeletena wewe unauza nini tigo. EDNA NICHOLAUS.
ReplyDelete