Licha ya Kupata Bwana Mpya; Johari: Siachani na Ray!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Ray na Johari Katika Pozi
SIKU chache baada ya kupenyezwa kwa madai ya kupata bwana mpya, staa wa filamu Bongo, Blandina William Chagula ‘Johari’ ameibuka na kuweka wazi kuwa kamwe hafikirii wala hana mpango wa kuachana na msanii mwenzake, Vincent Kigosi ‘Ray’ katika masuala ya kazi.

Akianika mwanya’ na Risasi Jumamosi hivi karibuni ndani ya ofisi zake, Sinza-Mori jijini Dar, Johari alisema hawezi kuruhusu mapenzi yatawale maisha yake na kusahau kazi.

“Siondoki RJ, kama kuna mtu anatarajia nitoke hapa eti kisa mambo ya mapenzi, anajidanganya kabisa, sifikirii kuachana na Ray kikazi, ni mtu muhimu sana, mapenzi hayawezi kutawala maisha yangu, yeye atabaki na mpenzi wake na mimi nitaendelea na mpenzi wangu,” alisema Johari.

Ray kwa sasa ameshaonesha upande na kukiri kukolea kwenye penzi la mwigizaji  Chuchu Hans na tayari ameshajipambanua kuwa wana mipango endelevu maishani mwao.

Chanzo: GPL
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad