Mawela ya Sinza na Havannah ya Segerea Ndio Baa za Wiki Shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MAWELA YA SINZA NA HAVANNAH YA SEGEREA NDIO BAA ZA WIKI SHINDANO LA TUSKER FANYAKWELI KIWANJANI
 Mshereheshaji wa promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Godwin Mawanja akiamsha ari ya kiwanja cha Havannah kilichopo Segerea mwisho jijini Dar wakati wa shindano la Tusker Fanyakweli Kiwanjani linaloendeshwa na bia ya Tusker lilipotinga kwenye baa hiyo katika uhamasihaji wa kufanya kweli kwenye upande wa huduma sambamba na hilo promosheni hiyo ilikua na zawadi lukuki za fulana, bia za bure na kalamu kwa wapenzi wa bia hiyo waliofika kiwanjani hapo.

 Mkazi wa Segerea aliyetambulika kwa jina la Gaudence Mgeja pamoja na Dj wa promosheni ya Fanyakweli Kiwanjani Dj Con wakishindana kucheza mziki kwenye hafla ya kuipongeza baa ya Havannah iliyopo Segerea mwisho jijini Dar. Baa hiyo iliibuka mshindi wa wiki wa promosheni hiyo yenye lengo la kuhamasisha kwa vitendo baa za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli inapokuja kwenye suala la huduma kwa wateja wao.

Meneja bia ya Tusker SBL, Nandi Mwiyombella (Kushoto) akikabidhi zawadi ya mfuko wenye fulana na kalamu kwa mkazi wa Segerea mwisho Bw. Rodride Nyange katika hafla ya kuipongeza baa ya Havannah iliyopo Segerea mwisho jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Kampeni hiyo yenye nia ya kuhamasiha baa za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli kwenye upande wa huduma inatarajiwa pia kuwafikia wakazi mbalimbali wa mikoa mingine nchini kama;- Arusha, Mbeya, Moshi, Mwanza na Morogoro.

Baadhi ya wapenzi wa bia ya Tusker wakifurahia burudani ya muziki katika hafla ya kuipongeza baa ya Havannah iliyopo Segerea mwisho jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Kampeni hiyo yenye nia ya kuhamasiha baa za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli kwenye upande wa huduma inatarajiwa pia kuwafikia wakazi mbalimbali wa mikoa mingine nchini kama;- Arusha, Mbeya, Moshi, Mwanza na Morogoro.

 Meneja wa bia ya Tusker SBL, Nandi Mwiyombella akikabidhi zawadi ya mfuko wenye fulana na kalamu kwa mkazi wa Sinza Bw. Kamara Mambosasa katika hafla ya kuipongeza baa ya Mawela iliyopo Sinza jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Kampeni hiyo yenye nia ya kuhamasiha baa za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli kwenye upande wa huduma inatarajiwa pia kuwafikia wakazi mbalimbali wa mikoa mingine nchini kama;- Arusha, Mbeya, Mwanza,Moshi  na Morogoro.

 Meneja wa bia ya Tusker SBL, Nandi Mwiyombella akikabidhi zawadi ya mfuko wenye fulana na kalamu kwa mkazi wa Sinza Bi. Zalia Ally katika hafla ya kuipongeza baa ya Mawela iliyopo Sinza jijini Dar es salaam ambayo iliibuka mshindi wa wiki kwenye kampeni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Kampeni hiyo yenye nia ya kuhamasiha baa za mitaa inayotuzunguka kufanya kweli kwenye upande wa huduma inatarajiwa pia kuwafikia wakazi mbalimbali wa mikoa mingine nchini kama;- Arusha, Mbeya, Mwanza na Morogoro.

Mshereheshaji wa promosheni ya Tusker Fanyakweli Kiwanjani Gadner G. Habash (kushoto) akizungumza na mpenzi wa bia ya Tusker na mkazi wa Sinza Bw. James Lui katika baa ya Mawela iliyopo Sinza jijini Dar es salaam wakati wa kusherekea ushindi wa baa hiyo kwenye kampeni ya Fanyakweli Kiwanjani inayoendeshwa na bia ya Tusker. Kampeni hiyo inatarajiwa kuifikia mikoa mingine mbalimbali Tanzania kama;- Arusha, Mbeya, Moshi, Mwanza na Morogoro.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad