AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akipiga stori na paparazi wetu juzi, mmoja wa marafiki wa muda mrefu na Nora, ambaye pia ni msanii wa filamu (jina lipo kwenye droo zetu), alisema kwa sasa Nora yuko ‘bize’ kuhakikisha mambo na mipango ya harusi yake na mwanaume ambaye alitajwa kwa jina moja la Omary inakwenda sawa.
Katika kujua ukweli wa habari hiyo, Nora alitafutwa na alipopatikana alikuwa na haya ya kusema: “Jamani, kwani kuolewa ni kitu cha ajabu, ni kweli niko kwenye maandalizi hayo na ikitokea nimeachika tena, basi itabidi nijiangalie upya, ila naamini huyu wa sasa ndiye niliyekuwa namhitaji.”
Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.
Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA
Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK