AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza katika Makao Makuu ya CCM, mjini Dodoma jana, Nape alisema kuna taarifa za uhakika kuwa kuna baadhi ya makundi ya Ukawa yamepanga mchezo huo wa kutengeza kadi bandia.
“Wameanza kuratibu mchezo huo ili wazigawe kadi hizo kwa watu wao, ili baadaye asipopita mgombea wao, ionekane wana CCM wanakihama chama chao kwa kurudisha kadi hizo kwenye shughuli mbalimbali za vyama hivyo vinavyounda Ukawa.
“Wakati tunachunguza kwa kina suala hilo, Ukawa waache mchezo huo wa ovyo na Watanzania wakwepe mchezo huo na wawe makini,” alisema
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Uchafu wa WAKIWA umeshakwama
ReplyDeleteBaada ya niny ccm tuwape hio kashifa mmeanza kutupia kwetu!!! Hamna adabu...kwanza wanainch hatujui mlikozpeleka mashine za uandkshaji nazko chini ya ulinz wa nan shenz nyiny maccm...
ReplyDeleteNape, Enzi zako za Kuwa Cha Upinzani ZINAKARIBIA. Jiandae kijana! Una mdomo mrefu sana - wewe na huyo ndugu yako wa KINONDONI, BWANA M!
ReplyDeleteN A B A A A A A D O
ReplyDelete