DIVA Loveness Atuhumiwa Kutoka na Mume wa ESMA Platnumz Anayejulikana Kama Petit Man..Meseji zao Zasambaa Mtandaoni..Mwenyewe Akana Adai ni Marafiki Tu

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Dada Mmoja Rafiki wa Esma Platnumz Anayejulikana kama Ladynaaaa huko Instagram Amemshushia Tuhuma nzima Mtangazi wa Redio Diva Loveness Kwa Kudai anatembea na Mume wa Petit man...Tuhuma hizo zimesababisha majibishano kati ya hao wawili huko kwenye Mtandao wa Instagram, Hapa nimekuwekea Baadhi ya Majibishano yao:
Ladynaaaa

Ladynaaaa: Dah inasikitisha saana wewe diva mtangazaji wa clouds unajizalilisha saana yani unaingilia ndoa ya esma na petit yani wewe diva niwakumzunguka esma utoke na mumewake huoni hata aibu nawakati na wewe uko na gk au hakutoshi ? Yani umekuja kwenye 40 ya mtoto wa esma na mtandio akakupa naona hapo umejifunika lakini ulikua kutwa uko na mume wa mwenzio nimesikitishwa saana sio vizuri wewe Nimeamini kweli ni kidudu mtu mimi siongei uongo soon ntakuekea msg ulizokua unachat nae usipende kujizalilisha respect ur self and everybody will respect u .mwache esma na ndoa yake tafuta bwana wako peke yako and that's a warning @esmaplatnum @divathebawse



ladynaaaa :Duuu diva umenisikitishaa nilikua sinania ya kuanika izi msg sema kwasababu unasema nimekuonea nataka haki itendeke ulitaka msg izo hapo na number iyo hapo nambie kama sio yako umesema una airtel na hiyo ni number gani mimi sijatukana ila nimesema sijaenda unavofanya stop being a snake haisaidii @esmaplatnum @rahdh_one @divathebawse bora weka wazi esma ajue wewe ni mke mwenzake kuliko kujificha kua mpole mama msg ndo izo


Baada ya Shutuma hizo Diva Amejibu hivi:

Divathebawse:hizi sms zangu ndio na huyo kanijibu petit ndio hamna hata uongo .. sasa hapo Mapenzi yako wapi? au ndo ushamba? au wee dada chizi hujawahi kuitwa babes au? mshkaji wako hajawahi sema i love you so much ?! maana that's just normal kumuita mtu darling or baby .. kwa taarifa yako huyo GK pia huwa anaona ninavyoongea na petit natumia lugha hiohio hata akiwepo na nampa petit simu aongee nae pia .. Muulize petit Mambo yangu anamjua muhusika .. yeye mmemuonea tu .. hamna mapenzi hapo hayo mambo ya uzungu  sasa hivyo ndo Mapenzi? heee?  kweli wee chizi ' wema pia namuita baby wangu and i love her so much nae nasagana nae?  ntolee upumbavu wako... mxiuuuu hio kawaida mbona wewe dada heee ... kwani mpaka mapenzi? tena maskin wakati nimetoka katika operesheni hivyo ndo ilivyokuwa .. huyo esma mbona anajua hayo mambo ya uzungu au ?! maana huwa namwambia I miss Petit man soo much jaman .. sasa wewe ukajaa voooom dah kiranga komooo..na hapo sort of najipendekeza kwako nilitaka nimpe story ya umbea i guess sasa la ajabu lipi? maana after there alipiga nikaongea nae .. sasa umeweka number yangu public pia hilo kosa kisheria wewe lady naa ila ngoja soon utaona sheria inavyochukua mkondo wake. privacy is the key umekurupuka in this. yaan me huwa nadeka na ndio niko hivyo wee dada lool  yaan nimecheka mpaka nimeanguka katika sakafu hihihi. nimekupa airtime leo hulali Diva kaku mention! what yo name again? lady what?


Diva Akaongeza Haya Tena:

divathebawse: Mmeweka Number yangu public na sitabadili. hivi mkiolewa hamfundwi? ndoa iko instagram huh? Sometimes wachawi wa ndoa zenu ni nyie wenyewe ' ulee mtoto , ufue , umfungulie mlango mie vinanihusu? maisha ya chumbani kuyaleta hadharani wewe mwanamke kweli una nyakanga? lool .. yaan nilale na huyo mwanaume ambae ni rafiki yangu not to mention sio level yangu kwanza sijawahiii and sitawahiiiii .. am not that cheap and huwa silali na washkaji zangu .. afu he is not what i really need in a man ... sio type yangu ' seeking sympathy instagram kwa ndoa iliokushinda hata mwaka huna kwa kunipakazia dada unahisi ntanyamaza .. ?! lol .. over my dead body .. kwa sms gani za Mapenzi hasa mxiuuuu.. Ukigombana na mumeo insta? drama queen or baby mama drama? utandale ndo hamuitani baby na darling? mbona kawaida my dear njoo nikufundishe how to act Pure Muzungu .... uzungu ndo huo Pure Uzungu.. already taken .. i have My Man ' kwan humjui muhusika anaekuibia mumeo? loool acha kunichekesha to the sakafuz goddamit. and sitanyamaza in this .. i dare you . for your information dada i only Fuck with Exclusive . Muulize Mumeo atakwambia who z the ride or die lool... Exclusivity only.. Your hubby Bawse was The Main Man .. I am The Diva You know .. ?! you kno that dontchu? status matter darling .. go find the Dictionary ... Adios

Ukitaka zaidi Nenda kwenye page zao.
----

Love Story ya NJIA PANDA,Ni Kali mnoo Jamani.

Kusikiliza au kusoma mwendelezo wake Tembelea www.makapedia.com kisha bofya palipoandikwa NJIA PANDA kila siku saa moja kamili jioni BURE au bofya HAPA

Pia Bofya HAPA kujiunga na what's app channel yetu,tukukumbushe kila siku.


-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad