AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Nora wa Bongo Movies |
Akizungumza na Ijumaa hivi karibuni, Nora alisema kuwa, anawashangaa baadhi ya wasanii kukubali kununulika wakati wakijua kuwa, baada ya uchaguzi watamwagwa.
“Jamani mimi nashangaa kuona wasanii tunatumika kwa kiasi hiki, thamani yetu hatuitambui kabisa, kila baada ya miaka mitano tunatumika kisha tunaachwa solemba, yaani dah!” alisema Nora.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wewe ni mtoto mzuri sana, maana ni mulewa God Bless you....
ReplyDelete