AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
"Sasa kumekucha.... Nikiangalia hiki kikosi naamini kabisa kuna Chama kitamficha mgombea wake ndani ili wengine wafanye yale ya matumizi halali ya Madodoki ya Chuma .... Nani msiniulize. Huu ndiyo mziki wa Magufuli, sidhani kama Mtauweza"
Je Kwa Maoni yako ni Mgombea Yupi Atafichwa Ndani ?
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
SAWA BWANA RIDHWANI NGOJA AWALI TUKUBENJUE CHALINZE.HAO WACHOVU 32 WAJIANDAE KUVUNJA MIKUTANO YAO YA KAMPENI KILA KONA NCHINI KWA KUIMBIWA KWA NGUVU ZOTE;TUNA IMANI NA LOWASSA OYA OYA OYAAAA.WIMBO ULIOASISIWA NA HALMASHAURI KUU YA CCM NA KIKWETE KUUPIGIA MAKOFI MAZITO.BABA LOWASSA CHUKUA NCHI 2015-2020
ReplyDeleteMgombea atakayefichwa ni yule asoweza kuhutubia kwa zaidi ya dakika 20!!
ReplyDeletePESA ZA KWENYE MAGUNIA NANI KACHUKUWA KAMA SIO WEWE
ReplyDeleteHuyu dogo bora ukae kimya sababu wewe ni bilionea kwa kipindi kifupi ulipokuwa mbunge,unawatia hasira wananchi wengi na huisaidii chama cha majambazi na hamna mtu anayekusikiliza labda wakware wenzio.
ReplyDeleteHuyu na nape ndio wanafanya watu waichukie ccm.maradufu.washafanya ccm ya wazaramo.fisadi namba moja
ReplyDeleteFunga kazi inakuja kwa Famili nzima ya Kikwete.Imani yetu ni kwamba kutokana na wizi wao,matumizi mabaya ya ofisi,kujihusisha kwenye biashara Haramu za wanyama pori,pembe,Madawa ya kulevya,RICHMOND,EPA,ESCROW,Wataishi kama famili kwa misukosuko mikubwa sana.JELA INAWAITA.NGOJA WANANCHI TUFANYE VYETUTarehe 25 Octoba 2015
ReplyDelete