AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Shamsa amesema hayupo tayari kufuata maamuzi ya watu wengine hata kwa lundo la fedha kwani kufanya hivyo ni kujidhalilisha .
“Mimi nitabaki huku kwa kuwa nahitaji mabadiliko,kila siku wasanii tunalia tukidai tunaibiwa na hakuna utekelezaji na matokeo yake tunapewa ahadi zisizoisha.”Amesema Shamsa
Aidha , Shamsa Ford aliwataka mashabiki kuwaona kama watu wakawaida kwani baada ya siasa maisha yataendelea kama zamani.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
hapo shamsa.Kaza kamba mama .mabadiliko .acha hao wanaongwa nakusahau kuwa hizo pesa ni jasho la watanzania ambao wanawasaliti
ReplyDeleteumenena dada, ndiyo maana tunakupenda, pesa nini bana, zinatafutwa siyo utu! utakuta mtu anapoteza utu wake sababu tu ya NJAAA!!
ReplyDeleteWeeee atathubutu kuja CCM,si atakuta katupiwa mizigo yake nje.
ReplyDeleteBaki hukohuko UKAWA dadangu, linda ndoa yako.Mrs Nay?????????