Aunty Ezekiel Ashikwa Pabaya..Adaiwa Kumroga Mtoto wa Mwengi Mchumba wa Zamani wa Moses Iyobo

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

MAKUBWA! Mzazi mwenziye na dansa wa Nasibu Abdul ‘Diamond’, Moses Iyobo, Mwengi amemtuhumu mwigizaji Aunt Ezekiel kuwa ni mshirikina akidai amemrogea mwanaye.
Mwengi alisema hivi karibuni alimpeleka mwanaye nyumbani kwa Aunt ili akamuone baba yake (Iyobo), lakini alipomrudisha alikuwa katika hali mbaya.
“Mtoto karudi anaumwa, tumeenda hospitali hatukuona tatizo hadi kwa wataalam wa jadi ndiko tulikopata suluhu, ni Aunt tu atakuwa kamfanyia figisufigisu,” alisema Mwengi.
Baada ya Mwengi kumwaga madai hayo kwa Risasi Jumamosi, mwanahabari wetu alimpigia simu Aunt ambapo alipopatikana, alimpuuza mwanamke huyo kwa kujibu kwa kifupi.
“Huyo anatafuta kiki kupitia jina langu, nimroge yeye kwa lipi? Si bora niwaroge watu wazima kuliko yeye mwendawazimu.”

Source: GPL
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.

Top Post Ad