FAIZA ALLY Amrushia Madongo Mh Mbunge SUGU...Adai ni Kiongozi Gani Anashindwa Hata Kulipa Ada ya Mtoto Wake wala Kujua Anapolala?

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mama Mtoto wa Mbunge wa Mbeya Mjini Mh Sugu Faiza Ally Ameibuka kwenye Mtandao wa Instagram na Kuandika Mazito Kuhusu Baba mtoto wake Sugu...

Soma Hapa Chini:


Unawezaje kuwa kiongozi bora kwenye jamii ya watu wengi wakati familia yako huwezi kuingoza ? Unaweje kuhudumia maelfu ya watu wkt watoto wako wawili tu hujui wanalala wapi ? wanakula nini wala wanaishije ? Jamani Jamani serekali yetu iyangalie viongozi wetu kwa kina kuanzia maisha yao binafsi! Elimu zao na back ground za maisha yao! Isiwe rahisi sana kumpa mtu uongozi ! Haiewezekani ushindwe kutunza mwanao uweze kutunza umma- sisemi kwa sababu yangu tu nasema kwa sababu ya wananchi wote! Wanawake tunaumia! Watoto wetu wanakua hawana maisha maalumu- hawana uhakika wa elimu - maana jamani kuwa single mama sio kesi rahisi- sasa ni bora kuumia wachache kuliko kwenda nakuumiza wananchi wengine! Hapa sizungumzii chama maana kwanza mimi sinaga chama lkn nazungumzia taifa ! Kiongozi ili uwe bora lzm kwanza uwe bora ulipotoka na kwa familia yako! Mtu anaweza kukomesha damu yake kwa kuisahau ni hatari kufanya lolote kwa yoyote- ongezeni uzito wa vigezo ktk kumpa mtu madaraka makubwa kumchunguza maisha yake....... nimesema kutoka moyoni na vitu vinavyo nihusu na naamini vinawahusu wengine wengi !!!!!! TAFAKARI

Baada ya Kusema Hayo Akaendelea Kusema Haya Pia Katika Post ya pili..

UBUNGE WAKE HAUNISAIDII NA WALA HAUNIZIDISHII - AKIPATA SAWA AKIKOSA SAWA! LKN KAMWE SITAACHA KUZUNGUMZA UHALISIA NA KATIKA KILE NINACHO KIAMINI BILA UOGA - NA CHA UKWELI ! NYINYI MNAONGEA HOVYO ONGEENI TU ! LKN AMINI HUYO RAIS WENU ANANIJUA VIZURI NA HAYO NINAYOSEMA YANAUKWELI ASILIMIA 100! MWENYEWE YANAMUINGIA SEMA NDIO HIVYO HUWEZI KUBADILISHA UHALISIA WA MTU! LKN PAMOJA NA KUTOKUBADILISHA SI SABABU YA KUKAA KIMYA! NA HILI SIO LA MWISHO NATAENDELEA KUZUNGUMZA PALE NINAPO JISIKIA HASA PENYE UKWELI ! ..... NA HUO NDIO UKWELI ILI UWE KIONGOZI BORA LZM KWANZA UWE BORA KWAKO! KIONGOZI YUPI BORA HALAFU HALIPI ADA YA MWANAE YA SHULE ?????? HUO UBORA UKO WAPI ? KUSIMAMA KWENYE JUKWAA NA KUJINADI ? YES ANAWEZA KUWA HATA WAZIRI NINI MBUNGE ? LKN BADO AKAWA SIO KIONGOZI BORA ? NA NDIO MAANA HATUNA VIONGOZI BORA KWA SABABU WANAO ONGOZA SIO BORA !!!!!! TUTAKUAJE NA MAISHA BORA ? SASA SWALA LA KUSHINDA HALIINGILIANI !!!!!!!!!! 1h
Read more at http://websta.me/n/faiza_ally#ogMQvOJ23QkcZRti.99
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. ametumwa huyu!!!

    ReplyDelete
  2. Dah!kibuti kibaya jamani.

    ReplyDelete
  3. Pengine hana uwezo na wewe u nategemea Makuu toka kwake.

    ReplyDelete

Top Post Ad