AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Gari lililokamatwa ni la Tanroads, na limekamatwa leo asubuhi.Walipokamatwa walijitetea kuwa walikuwa wamebeba t shirt za Magufuli.
Baada ya Upekuzi kufanyika, chini ya shinikizo la wananchi, gari hilo lilikutwa na kura ambazo tayari zimepigwa kumchagua Magufuli.
Taarifa hii Imethibitishwa na James Mbataia, Mwenyekiti mwenza wa Ukawa. .
Tazama Video
MKOANI NJOMBE, gari lenye kura zilizopigwa tayari. We can not tolerate this
Posted by Mussa Samora on Saturday, October 24, 2015
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK