Gari la Serikali Lakamatwa Huko Njombe Likidaiwa kuwa na Maboksi ya Kura FEKI zilizopigwa Kumchagua Magufuli

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Gari  la  Serikali  limekamatwa  mkoani  Njombe  likidaiwa  kuwa  na  kura  FEKI  Zilizizopigwa  kwa  ajili  ya  mgombea  urais  wa  CCM

Gari  lililokamatwa  ni  la  Tanroads, na  limekamatwa  leo  asubuhi.Walipokamatwa  walijitetea  kuwa  walikuwa  wamebeba  t shirt  za  Magufuli.


Baada  ya  Upekuzi  kufanyika, chini  ya  shinikizo  la  wananchi, gari  hilo  lilikutwa  na  kura  ambazo  tayari  zimepigwa  kumchagua  Magufuli.

Taarifa  hii  Imethibitishwa  na  James  Mbataia, Mwenyekiti mwenza  wa  Ukawa. . 
Tazama  Video




MKOANI NJOMBE, gari lenye kura zilizopigwa tayari. We can not tolerate this
Posted by Mussa Samora on Saturday, October 24, 2015
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad