Hali ilivyo Sehemu Mbali Mbali za Kupigga Kura..Wengi Walalamika Majina yao kutokuwepo..na Wengine Wasema Utaratibu wa Kupiga Kura Upo Slow Sana

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Mdakuzi Wako nimetembea vituo mbali mbali maeneo ya Boko, Bunju, na Mabwepande na Wananchi Wengi walio katika vituo hivyo wamedai kuwa zoezi la upigaji linaenda taratibu sana kiasi huenda mpaka saa kumi watu wasimalize kupiga kura...pia baadhi ya wapiga kura majina yao hajaonekani ....zaidi ya hapo zoezi linaenda vizuri .....
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad