Haya ni Mambo 13 kwanini Matokeo ya Uchaguzi mkuu Tanzania Bara Hayatofutwa.. (Video)

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

October 29 2015 ni siku ambayo vichwa vya habari magazetini vimetawaliwa na stori ya kuahirishwa Uchaguzi mkuu Zanzibar pamoja na matokeo yake yote kufutwa.

Hiyo ni habari iliyotokana na Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar ZEC, Jecha Salim Jecha kutangaza kufuta matokeo ya Uchaguzi huo huku akitaja sababu kadhaa za matokeo hayo kufutwa.

Hapa ni video ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi NEC, Jaji Damian Lubuva akitaja sababu na kuthibitisha kwamba matokeo ya Uchaguzi mkuu Tanzania bara yataendelea kutolewa.
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. HATA TURUDIE MARA KUMI ATAKAESHINDA NI MAGUFULI.UKAWA TUJIPANGE UPYA,KWANI TUMECHEMKA TANGU MCHAKATO WA KUMPOKEA EDO KUJA UKAWA NA HAPO NDIPO WANACHAMA WENGI TULIKAA KANDO KUANGALIA UPEPO UNAKOELEKEA.UPENZI NA USHABIKI WA MAJI TAKA HAUTUFAI.MUNGU IBARIKI TZ.

    ReplyDelete
  2. Wewe mzee chunga chunga

    ReplyDelete
  3. Boko haram totoleeni hichi kizee na wapambe wake

    ReplyDelete

Top Post Ad