AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Lakini anayeendesha Uchaguzi wa Muungano Hapa (Zanzibar) Ni ZEC kama wakala wa NEC.
Sasa Ukisema kwamba unafuta Uchaguzi Zanzibar,Unafuta Uchaguzi wa RAISI wa jamhuri ya Muungano kwa upande wa Zanzibar. Unafuta Uchaguzi wa wabunge kwa upande wa Zanzibar.
Kwa hiyo basi,Huwezi ukamuapisha raisi atakayechaguliwa kwa upande mmoja wa Muungano akawa ni Raisi wa TANZANIA. Na Akiapishwa Huyo atakuwa ni Raisi wa TANGANYIKA.
Vilevile Huwezi kuwa na Bunge la Muungano Bila ya Wabunge kutoka ZANZIBAR. Wakikutana Peke Yao Itakuwa Ni Bunge La TANGANYIKA......." ~Maaalim Seif Sharif Hamad
Wale wazee wa sheria Tupeni Msaada!!.. Tufuate Lipi????
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Mtu mzima huyu
ReplyDeleteBongo Hakuna boko haram jamani
Kizee hiki kitutie shida kisa Jk Na makapi yake