Hii ya Maalim Seif Nimeielewa, ila Hii ya Lubuva Inawalakini mh!

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Uchaguzi huu,Vile Vile unaathiri uchaguzi wa Jamhuri ya Muungano.Kwamba Wapiga Kura Wa Zanzibar Wote Walishiriki uchaguzi wa jamhuri ya muungano.

Lakini anayeendesha Uchaguzi wa Muungano Hapa (Zanzibar) Ni ZEC kama wakala wa NEC.
Sasa Ukisema kwamba unafuta Uchaguzi Zanzibar,Unafuta Uchaguzi wa RAISI wa jamhuri ya Muungano kwa upande wa Zanzibar. Unafuta Uchaguzi wa wabunge kwa upande wa Zanzibar.

Kwa hiyo basi,Huwezi ukamuapisha raisi atakayechaguliwa kwa upande mmoja wa Muungano akawa ni Raisi wa TANZANIA. Na Akiapishwa Huyo atakuwa ni Raisi wa TANGANYIKA.

Vilevile Huwezi kuwa na Bunge la Muungano Bila ya Wabunge kutoka ZANZIBAR. Wakikutana Peke Yao Itakuwa Ni Bunge La TANGANYIKA......." ~Maaalim Seif Sharif Hamad

Wale wazee wa sheria Tupeni Msaada!!.. Tufuate Lipi????
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Tags

Post a Comment

1 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. Mtu mzima huyu
    Bongo Hakuna boko haram jamani
    Kizee hiki kitutie shida kisa Jk Na makapi yake

    ReplyDelete

Top Post Ad