Hii Ndio Inaweza Kuwa Sababu kubwa CCM Kushindwa Vibaya Uchaguzi

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

Alipoulizwa anafikiri kwanini McCain alishindwa na Obama 2008, mshauri wake akajibu, "Our campaign turned tactical rather than strategic. We focused more on why Obama should not be president, but much less on why McCain should be." -Wall Street Journal.

(Najaribu kuwaza kuwa CCM itashindwa vibaya not because Magufuli hafai, bt because wametumia muda mwingi kutuekeza kwa nini Lowassa hafai badala ya kutuambia kwa nini Magufuli anafaa).

The same happened kwa Rais Buhari.... Jonathan na Chama chake walikuwa busy kumsema na kumchimba Buhari (Mara mgonjwa, atakufa, ni Mzee, ni mfadhili wa Boko Haram) badala ya kuwaeleza wananchi ni nini watafanya...

Kwa kuwa zimebaki siku 5. Hakuna miujiza yanayoweza kutokea, CCM ijiandae kupata pigo takatifu..
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Top Post Ad