AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Mrekebishatabia
Joyce ni Mdada niliyeamini anaweza kuwa mfano bora kwa jamii kutokana na kazi mbali mbali alizofanya na kujitolea kwa wananchi...nilimwona kama shujaa na mwanamke ambaye hata angesimama kugombea jimboni peke yake angepita bila kupingwa. Nilikuwa na picha ya mwanamama Fulani wa nguvu ambaye ndani ya miaka michache ijayo Tanzania ingeheshimika kupitia yeye.
Lakini nachelea kusema amejiharibia sana mambo mengi wakati huu wa uchaguzi ni pamoja na kutoa lugha chafu mitandaoni akijua kabisa mumewe anagombea vijijini ambako watu hujiheshimu.
Sasa nikajua labda ana uchungu na wananchi ndo maana alikuwa vile kuumbe anawaza safari za ulaya? Yaani kusema ukweli nimekwazika na nahisi aibu kama mimi ndo Joyce. Na siamini nilichokisoma kutoka kwake. Uchaguzi huu umenifanya nimfahamu Joyce vema....na tulisema kuna maisha baada ya uchaguzi...nitaendelea na wengine!!!
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK