AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza juzi kwenye viwanja vya Uyole na Nzovwe jijini hapa, Nchemba alisema alisikitishwa na taarifa za kuuawa kwa wana CCM wawili katika Mji Mdogo wa Tunduma wakati wa kampeni za Chadema.
“Nimesikitishwa na hatua hii mliyofikia, nimesikia kuna watu wawili Tunduma wameuana kwa sababu za kisiasa,” alisema Nchemba.
Alisema ubishi wa kisiasa unapaswa kulenga katika kuimarisha maendeleo ya watu na Taifa, lakini udugu lazima ubaki palepale.
Aliwasihi wakazi hao kutokubali kuumizana kwa sababu ya siasa kwani haitawasaidia.
Mgombea udiwani wa Kata ya Nzovwe, Mlaga alisema endapo wananchi watamchagua atahakikisha kivuko cha Mto Swaya kinatengenezwa.
Source:Mwananchi
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK