AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Edward Lowassa |
Edward Lowassa Mwenyewe Ameibuka kupitia Ukurasa wake Halali wa Facebook na kukanusha juu ya habari hiyo na kusema ni za uzushi
Ameandika Haya:
"Taarifa zinazosambazwa kwenye mitandao kwamba nimekubali kushindwa katika Uchaguzi wa Rais ni za uwongo, Ninaomba zipuuzwe" Lowassa
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
KUBALI TU DADY KWA USALAMA WA WANANCHI,WAPATE AMANI KWENYE MIOYO YAO.ILA UJUE UKAWA TUKO WANAFIKI WENGI.
ReplyDeleteUTAKUBALI TU BABA.MUNGU AKUPE UJASIRI HUO,ACHANA KABISA NA WACHACHE WANAOKUCHOCHEA.UMEPITWA KWA KURA NYINGI SANA HATA KAMA KUNA ZA WIZI.
ReplyDeleteNdo'basi tena, kachunge ng'ombe Monduli!!
ReplyDeleteCCM woyeeeeeee
UMESHINDWA KELELE ZA NINI SASA WE MZEE NENDA KWENU ACHANA NA SIASA
ReplyDeleteMagufuli kashinda Kwa kura za wizi,nakama ccm mlikua mnajiamini ile mikura feki ni ya kazi gani?na bora tuwe htn vyama vingi sbb Hkn demokrasia
ReplyDeleteduu-mzee wa monduli
Deletena wao wangeiba basi
Deletewalishindwakuiba na wao
ReplyDeleteNa wao wangeiba basi
ReplyDeleteMAGUFULI HAKUIBA KURA WATANZANIA HAWAWEZI KUCHAGUA RAISI ANAYE JINYEA NA
ReplyDeleteNA FASID I MKUBWA
YAONEKANA HUNA AKILI NDG YANGU; HAYO SIYO YA KUONGEA KWA MTU MWENYE AKILI TIMAMU. NDIYO MAANA ELIMU NI MUHIMU; KASOME HATA NGUMBALU USTAARABIKE
DeleteWEWE UNASEMA MAGUFULI KASHINDA KURA ZA WIZI NADHANI UNAOTA NENDA KWA HUYO
ReplyDeleteLOWASA KAMSAIDIE KUCHUNGA NG'OMBE NA UWE UNAMSAFISHA ANAPO JINYEA SAWA
Mzee kichaa nn ww ....watu tunasubiri kuapisha ww umekazana kubishana na matokeo TAHIRA Kweli
ReplyDeleteMZEEE KApumzike bhana make mbowe na mbatia wao walisubiri uwaziri ndo umekosa hivyooooo,,,,magufuri kashinda kweli ila sema tu kuwa ww lengo lko ni urais na kushindwa kwako unaona aibu sasa.......uwiiiiiiii..... kachunge ng'ombe baba achana na siasa thamani yko ilikuwepo kipindi upo ccm sasa kwa hivi sasa hakuna atakaekuthamini karibu alhmic tumuapishe magufuri
ReplyDeleteacheni midomo bana kwani huyo kofuli hata anawajua? fanyeni kazi hapa tz hakuna siasa wala demokrasia kuna wizi ufisadi umaskini, ujinga na matusi kama yale ya mkapa turidhike tu sasa tutafanyaje
ReplyDeletetumuombe Mungu tu yatosha
ReplyDelete