AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Maalim Hassan aliyasema hayo alipozungumza na gazeti hili juzi ambapo alisisitiza kuwa utabiri wake alioutoa Desemba 28, 2014 katika mkutano wake na waandishi wa habari ofisini kwake, haukumlenga mtu.
Mchungaji Mtikila ambaye alikuwa akigombea urais kupitia Democratic Party (DP) kabla ya kuenguliwa na Tume ya Taifa ya Uchaguzi (Nec), alifariki dunia Oktoba 4, 2015 kwa ajali ya gari kijijini Msolwa, Chalinze, mkoani Pwani akitokea Njombe.
“Nilipoutoa utabiri ule mengi yalisema na watu wakawataja wagombea fulani, lakini niliwaambia kwamba utabiri haulengi mtu na sasa umempata Mchungaji Mtikila.
“Mtikila alikuwa mgombea urais, alichukua fomu na watu wakaona akiwa na mkoba kama wa wagombea wenzake, akakataliwa na tume lakini akakata rufaa… angeweza pia kushinda rufaa yake,” alisema Maalim Hassan.
Aliongeza kuwa, mara baada ya utabiri wake alipigiwa simu na makada wa vyama viwili – Chama cha Mapinduzi (CCM) waliodai kuwa mgombea wao Dk. Magufuli haumhusu na wale wa Chadema nao wakasema mgombea wao, Lowassa hawezi kuchuliwa hivyo – akawajibu wote kwamba utabiri wake haumlengi mtu.
“Niwahakikishie wananchi kwamba, kinyota wagombea wote wa urais waliobaki sasa wako salama na watashiriki kuchagua viongozi Oktoba 25, mwaka huu,” alisema Maalim Hassan.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Huna mpango wewe yote Kazi ya mungu Na laana kwa kumtukana Lowassa
ReplyDeleteBado wengine Hasa Makongoro Na Nape Na Makonda
Kigoda Na Celina wanawasubiri Akhera
Acha uongo wewe shehe kibaka niloge Mimi. Na taja jina langu hapa wapi naishi
ReplyDeleteYote Kazi ya mungu tapeli mkubwa wewe
Kama baba yako
Hahahahahaha wa tanzania si wawezi kwa matusi
ReplyDeleteMaalim nani huyo Hussein zamani tulikuwa tunampa makonzi sana Kinondoni/Bangladesh wakati wanakaa kwa baba yao mkubwa yeye na ndugu yake wa kuitwa Hassan nashangaaga sana nikisikia eti sasa amekuwa mtabiri kwa kisomo kipi?Wajinga ndio waliwao
ReplyDeletesio kweli Mchungaji Christopher Mtikila hakuwa mgombea ui rais mwaka huu alikatwa mapema sana
ReplyDeletewacha kutafuta sifa za bure hapa tapeli mkubwa wewe
Mungu pekee ndio mjuzi na mwenye nguvu. yeye akisema kua ndio jambo kua ndio linakua. nakumbuka ulitaja mamba wako ambao ulisema nyota ndio zinasema miongoni mwao mmoja ndio atakua raisi. Uliwataja kabisaaaa - Makamba, Membe, Migiro, Jaji Augostino na wengine wote ukawaita kenge tu na ni wasindikizaji. Wote wale chaliiiiiiiiii amewekwa magufuli na yeye anapigwa chali na Mzee Lowassa tarehe 25.
ReplyDeleteKiukweli utabiri wenu ulilenga kumtisha lowassa kwa kua mnatumiwa kisiasa. Mzee bado anasonga na kwa uwezo wake Mungu yeye ndio atakua raisi.