AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Unaweza kudownload Kitimtim hapa Chini:
Hii ni ngoma ya pili ya Bayo kwa mwaka huu wa 2015. Ngoma kabla ya hii inaitwa "Nielewe" yenye mahadhi ya sweet reggae. Unaweza kutizama nielewe hapa:
https://www.youtube.com/watch?v=6QB_OVby0D0
Wimbo wa kwanza kutoa Bayo kama solo artist unaitwa Jina Kapuni akiwashirikisha Watu Pori pamoja na Hussein Machozi. Bayo kwa sasa ni mfanyakazi wa shirika la VSO visiwani Zanzibar.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK