AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper alisema kutokana na kuingia kwenye uhusiano na wanaume tofauti akiwemo mfanyabiashara maarufu, Dallas ambao ameshindwa kufanya nao maisha, anahitaji mtu ambaye kweli atajiridhisha kuwa anafaa kuwa mume na si vinginevyo.
Alipoulizwa kuhusu Daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asilia, Dk. Fadhili Emily ambaye alitajwa kuhusika kuvunja uchumba wake na Mkongo, Wolper alisema muda bado wa kumzungumzia daktari huyo.
“Huyu nimefahamiana naye muda si mrefu hivyo hata kama ni yeye nitahitaji muda kidogo kujiridhisha nione kama anafaa,” alisema Wolper.
Chanzo: GPL
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
utachezewa na kila mtu
ReplyDeleteIdadi inazid kuwa kubwa
ReplyDeletewe malaya tu unatembea na kila mtu nani atakutaka tena
ReplyDelete