Wolper Afunguka Kuhusu Mwanaume Aliyechukua Nafasi ya Mkongo....

 AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA

SIKU chache baada ya kumwagana na aliyekuwa mchumba wake, raia wa Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo, mwigizaji Jacqueline Wolper amesema kuwa hawezi kuendelea kubaki bila mtu lakini anahitaji mtu mwenye sifa.

Akizungumza na mwanahabari wetu, Wolper alisema kutokana na kuingia kwenye uhusiano na wanaume tofauti akiwemo mfanyabiashara maarufu, Dallas ambao ameshindwa kufanya nao maisha, anahitaji mtu ambaye kweli atajiridhisha kuwa anafaa kuwa mume na si vinginevyo.

Alipoulizwa kuhusu Daktari wa Kitengo cha Sayansi na Tiba Asilia, Dk. Fadhili Emily ambaye alitajwa kuhusika kuvunja uchumba wake na Mkongo, Wolper alisema muda bado wa kumzungumzia daktari huyo.

“Huyu nimefahamiana naye muda si mrefu hivyo hata kama ni yeye nitahitaji muda kidogo kujiridhisha nione kama anafaa,” alisema Wolper.

Chanzo: GPL
----

Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu

Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:



 

-------------------

NAFASI ZA AJIRA 

JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA

INTERNSHIP VACANCIES

GOVERNMENT VACANCIES

NGO'S VACANCIES 

GOODLUCK

Post a Comment

3 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.
  1. utachezewa na kila mtu

    ReplyDelete
  2. Idadi inazid kuwa kubwa

    ReplyDelete
  3. we malaya tu unatembea na kila mtu nani atakutaka tena

    ReplyDelete

Top Post Ad