AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Rais wa Tanzania wa awamu ya Tano Dkt.John Pombe Magufuli katika kasi yake ya kutumbua majipu hatimaye,amevunja bodi yote ya Bandari na kutengua uteuzi wa Kaimu Mkurugenzi mkuu wa bandari Bw.Awadhi Massawe (Pichani), Mwenyekiti wa bodi ya bandari pamoja maofisa 8 wa bandari .Ameagiza wote wawekwe chini ya ulinzi kwa ajili ya uchunguzi
Rais pia amemsimamisha kazi katibu mkuu wizara ya uchukuzi Bw.Shabani Mwinjaka.
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Bado bado bado baba majipu ni mengi sana, sisi yetu ni maombi tuu
ReplyDeleteJembe.
ReplyDeletena yatakoma! yalikuwa yamejisahau sana haya, yakiishi kwa mazoea!!! Mhs yakamate yooootee!
ReplyDeleteyule paka shume wetu naye zamu sasa imefika,afungwe kengele,ana maelfu ya kesi za kujibu.kaharibu nchi yetu.pokonya passport yake kama hatua ya awali,usichelewe zaidi,huku uraiani ana-kubeza sana.
ReplyDeleteTumbua tumbua jembee
ReplyDeleteTINGATINGA LINAFUKUA VIFUSI
ReplyDeleteKwa speed hii Keko utajaa mijipu
ReplyDeletekikwete ndio aone madudu yake aliyoyaacha
ReplyDeleteWale ndugu zetu wa kuuza sura kwenye tv kisha wanahongwa na mafisadi na kujifanya matawi ya juu. Saizi wanahaha wakisikia jamaa anakamua mafisadi. Tumeteseka sana, tumenyanyasika sana, kisa watu wezi. Sasa kitaeleweka tu
ReplyDeleteAeende na Msoga , mkapa tutajuwa kweli jembe
DeleteKwani uozo na madudu yote yametokana na wao
Afisili Mali zao awatie ndani
Msoga kuna bonge la jumba lipo mafichoni
Delete