AJIRA ZA UHAKIKA NJE NJE, BONYEZA HAPA
Source: Magazeti ya leo
Utamu wa audio book ya SIRI YA PADRE NA MKE WANGU hauna mfano, sikiliza Sehemu ya 1 bure, Sehemu ya 2 Tsh 2000 tu
Nusu ya mapato ni kwa ajili ya wagonjwa wasiojiweza, Lipia uburudike huku ukitoa sadaka Safi,ni www.makapedia.com au bofya kitabu hapo chini:
NAFASI ZA AJIRA
JIUNGE NA AJIRA YAKO TELEGRAM GROUP HAPA
GOODLUCK
Wakati umefika sasa kwa wanasiasa pamoja na viongozi wote wazee kustaafu. Kihistoria, makundi hayo niliyoyataja yalipata elimu toka kwa mkoloni. Ushahidi unaonesha kuwa elimu waliyopewa na mkoloni haikuwa na lengo la kumuendeleza mu-afrika. Lengo kuu lilikuwa kuandaa tabaka la viongozi ambao wataendelea kulinda maslahi ya wakoloni, hata kama nchi za Afrika zitakuwa zimepata "uhuru".
ReplyDeleteKazi hiyo ndio waliyoifanya, na Waafrika kwa ujumla wamekuwa ni masikini kuliko watu wa mabara mengine kutokana na uwepo wa tabaka hili la viongozi; matatizo ya rushwa na ufisadi kwa asilimia kubwa yanasababishwa na ubinafsi walionao viongozi wa ki-afrika ambao wengi wao wanawakilisha maslahi yao binafsi pamoja na wakubwa zao, yaani nchi "zilizoendelea". Hivyo kwa pamoja, kizazi kipya cha Waafrika kifanye jitihada za dhati za kuwaondoa viongozi hawa katika nydhifa muhimu za maamuzi mmoja baada ya mwingine. Hapo ndipo tutaanza kupanga na kufanyia kazi maendeleo ya kweli ya Muafrika.